Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Auntie!!!!
Halafu huyu Mkijana ako Singular au Plural?
Asking for a friend..




nimecheka sana var inasema ako na mke au mwanamke na watoto sio mtoto ni watoto
Auntie!!!!
Halafu huyu Mkijana ako Singular au Plural?
Asking for a friend..




nimecheka sana var inasema ako na mke au mwanamke na watoto sio mtoto ni watoto
Sanaaaaa auntieMtu Mbadiiii.....
Yaaaani!!!!
Maana tutatafutana humu..




yaani kama mimi watakuwa wamenipoteza jfAisee Hawa ndugu zetu hawahalafu ujue uwanja mashabiki wa simba ndio wamezidi yani wamemtia aibu msemaji wao
Namsubiri yule msemaji wao atasema niniAisee Hawa ndugu zetu hawa
Sio kwa promo zile
Hahahaha nasikia anaongeza mke wa tatuNamsubiri yule msemaji wao atasema nini

Yanga msomeni kidogo mchezaji wenu
mimi ni simba damu usitegemee mechi ya simba na yanga nitapost habari za yanga mtanisamehe bundle langu na simu yangu mtasoma habari za simba mtake msitakeView attachment 2206535







nimecheka sana var inasema ako na mke au mwanamke na watoto sio mtoto ni watoto









AsanteAmeen kaka
Nawashkru mashabiki wa timu zote kwa kuvumiliana na mmepokea matokeo kwa moyo mmoja




Katekwaa
Nimechekaaaaa....
Espy yuko wapi leo jamani?
Baibee shuuNamsubiri yule msemaji wao atasema nini
Mpira gani?Umeangalia mpira?
Usinichambe nakuomba![]()
UnaoujuaMpira gani?

Hii ya mke wa tatu hivi ni kweli auHahahaha nasikia anaongeza mke wa tatu
Jamaa yule![]()
Sema wana Simba tuna vibe si mchezo
Nimechekaaaaa....
Espy yuko wapi leo jamani?




yupoooo kazi kumsema babe wangu tu yani tungefungwa angekesha makapuku kama msemaji wao
Mwenyewe nimecheka..
Mbona VAR!!!!
Wapo TZ au Congo huko?![]()




var inasema auntie wapo Congo sasa sijui nani huwa anaenda kumtembelea mwenzie

Mungu anisamehe haya mapenzi ya kuhonga shida zilivyonijaaa