Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Yanga wana mterooo
Yanga wana mterooo
Ukikosa nini tenaOk , mimi nikikosa tunafungwa
KwendaUkikosa nini tena
Wanasema simba ina roho mbaya
Afee beki afee ab ....🤣🤣🤣Kwamba lazima uende tu hakuna namna
He he
karibu uniungishe
Wewe ni mimi AuntieAuntie kwanza me nahisi nina presha ujue uwanjani sijawahi kwenda kuangalia simba yaani.itokee tumefungwa nitazimia sijui maana nikiwa nyumbani tu tukifungwa nazima tv naingia kulala




Wewe ni mimi Auntie
Nikiangalizia mpira nyumbani preshs inakuwa kubwa kuliko.. Uwanjani sijui ndiyo itakuwaje..Maana kufungwa mimi sitaki kabisa.. Naumia
Nikikumbuka World Cup ya 2018 mama yangu alikuwepo...siku Timu zangu zinacheza Alikuwa ananiangalia hanimalizi.. Ile siku ya final nakumbuka ilikuwa J2..hapo natamani Croasia washinde, natamani France washinde..Sitaki kukumbuka ile siku![]()




yaani bar au sehemu ya watu wengi ndio ninaweza kuangalia mpaka mwisho yaani sijui kwa nini