Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,479
- 176,527
Kwani ninao?Eeenh hatujui kabisakwahiyo umemwambia huna ndugu
Kwani ninao?Eeenh hatujui kabisakwahiyo umemwambia huna ndugu
Kwahiyo auntie leo unatukanaKwani ninao?
Auntie kule ndani sijawahi kuingia kukiwa na mpira etiiiutaenda taifa auntie

Sijui kutukana mimi.Kwahiyo auntie leo unatukana
Hapana auntie kesho natoka saa kumi nahisi nitaangalia njiani njiani tu sina namnaAuntie kule ndani sijawahi kuingia kukiwa na mpira etiii
Sikumbuki ni mara ngapi nimeingia.. Ila zinakuwaga Mei Mosi.
Wewe utaenda Aunty akeee?
Eeenh jamani unatukataaSijui kutukana mimi.
Pole Auntie...Hapana auntie kesho natoka saa kumi nahisi nitaangalia njiani njiani tu sina namna
MjombaaaHahaha hautaki wateja jirani yangu
Auntie kwanza me nahisi nina presha ujue uwanjani sijawahi kwenda kuangalia simba yaani.Pole Auntie...
Mwenyewe nitaangalizia mtaani tu.


itokee tumefungwa nitazimia sijui maana nikiwa nyumbani tu tukifungwa nazima tv naingia kulala
WaleeeeteeeeeDJUMA: TUNASHINDA JUMAMOSI
.
“Najiamini tutashinda kutokana kikosi chetu kinawachezaji wazuri, unajua mechi hizi za derby mara nyingi hazina mzamana na kunakuwa na matokeo ambayo hayategemewi lakini tunashinda,"View attachment 2205101
Auntie kwanza me nahisi nina presha ujue uwanjani sijawahi kwenda kuangalia simba yaani.itokee tumefungwa nitazimia sijui maana nikiwa nyumbani tu tukifungwa nazima tv naingia kulala





nishakukatiq tiketi
Sitawahi jamani natoka saa kumi hiyo hela nitumie tunishakukatiq tiketi
Ok , mimi nikikosa tunafungwaSitawahi jamani natoka saa kumi hiyo hela nitumie tu