Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nyieeee mnaona lakini
Screenshot_20220429-190947_OGInsta%2B.jpg
 
Arsenal wamweka Tammy kwenye bajeti yao
.
Katika harakati za kuboresha safu yao ya ushambuliaji, mabosi wa Arenal wanafanya jitihada za kutosha kuhakikisha wanaipata huduma ya straika wa AS Roma na England, Tammy Abraham, 24, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
.
Hata hivyo, mabosi wa Roma wamewaambia kuwa itawagharimu Pauni 67.7 milioni ili kuipata huduma ya straika huyo baada ya msimu huu kumalizika.
.
Tammy amekuwa katika kiwango bora msimu huu amecheza mechi 46 za michuano yote na kufunga mabao 24. Arsenal mbali ya kumhitaji Abraham pia wanaisaka huduma ya staa wa Man City, Garbiel Jesus.
Screenshot_20220429-191247_OGInsta%2B.jpg
 
DJUMA: TUNASHINDA JUMAMOSI
.
“Najiamini tutashinda kutokana kikosi chetu kinawachezaji wazuri, unajua mechi hizi za derby mara nyingi hazina mzamana na kunakuwa na matokeo ambayo hayategemewi lakini tunashinda,"
Screenshot_20220429-191348_OGInsta%2B.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom