Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Happy furahiday to us all. Ni wikend hii ya mwisho kwa sisi chimumuna next wiki mapema tunakitenga




Sawa mkuuNi kweli kabsa mkuu, ila ukweli utabaki wazi kuwa ligi ya South Africa ni bora...kushindanisha na hapa kwetu...
Ndio maana unaona leo hii Mamelodi au Mazembe wanaonesha ushindani wa kweli pale wanapokutana na vigogo kutoka kaskazini kwa sababu ligi zao zina ubora, kuanzia miundombinu, mikataba
Hahaha chochote kinaweza tokea dakika za lala salama binamu,unaweza pindua meza...ni kweli binamu ila jua lilipozamia ndipo litakapoibukia, dunia inajizungusha kwenye muhimili wake. Hali nimekubaliana nayo ila mazingira yananiambia nikomae tu, nisubiri kipindi cha pili naweza kusaidiwa na upepo
He heAhahahhaa.. afu jirani si nilikuambia iwe siri jamani au ndo unataka kunitafutia wateja?