Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Yaaaani!!!na vile Melo hanaga hiyana
Wivu sina, ila najua litakalompata.Acha wivu binti.
Weweeeee!!!Kumbe si maki alimuita
Bahati nzuri melo mwenyewe anapenda ubuyu, atauacha acha hadi ufikishe page elfu mbili.
Kazini kuna mtu anayo ujuejamanii me siwezi kabisa acha tu nitumie wereva yangu
Sasa mbona mimi huwa hunihadithii? Usijali sitoscreen shot
Tulia, Italipwa hapa hapaNilipe huko
nimecheka sana auntie hata ukiscreenshot sijali wala nini kuna mtu aliniambi shunie picha zako zinasambaa nikamjibu ndio vizuri cha nitrend tu kwa watu alichoka
Kwani huwa mnachamba watu? Haiwezekani dota wangu awaogope hivi!!
Hawajambo kaka yangu sijui upo ulipoNjema hawajambo hapo ulipo dada
Hakuna simu bora hapa duniani kama tekno auntie, ila ni wivu tu wa watu kutuchafulia simu zetu
Hiyo huwa sio habari tena siku hizi mbona!!
Ukiiwasha inaandika tekino
Mmmmh we mgeni ili nimwambie shunie dadangu ajipatie wifiii