Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Niache auntieNa uzee huo unajiita mtoto![]()



uzee kwako mtoto kwa babe wangu mwenzio ananibeba na uzee huu
Niache auntieNa uzee huo unajiita mtoto![]()



uzee kwako mtoto kwa babe wangu mwenzio ananibeba na uzee huu
Kipenzi chake sasa
Mnajua kuniwezaaa!! Hawa viumbe mnawatoaga wapi nyie watoto!!
Kama wewe ukirudia tena ujinga wako nitakutandika viboko hutaamini majicho yako.




auntie usinikumbushe nishasahau ujue siwezi rudia ujinga ebu naomba usinikumbushe
Dec 27 auntie hivi auntie makiii utakujapo kwa besidei eenh we si tupo karibu
Sijui kwa nini nimecheka namna hii..
Aki nimecheka....Nasemaje, Jaribu.
Unanijua kwa majina na tabia...Nimemaliza![]()





Pyuuuuuuuu....Siwatambui kabisa mimi.
Uh!! Ndio mnavyodanganyanaga eeh?
He he he....Haki sitengui, labda ukishalipa deni langu.

Yule mtoto hapana...
Yule amenizidi Aiseee![]()



ila auntie we na mama mchungaji Heaven Sent mnamfata fata kidogo Saint AnneNdio Shunie, nimeona nianze tu kuwatandika viboko maana mnajua kuniweza
Ndiyo Kipenzi
Mbona viboko..Nani huyo? Ni Shunie?



He he he he....
Huyo mzoeee Auntie....ndiyo ndugu yetu tena tunafanyaje?
Si unajua kila familia ina yule ndugu, yule....Nisimalizie...
Maana nitachambwa hapa![]()





Khaaaa auntie jamani hajamaanisha mtu chake mtu
Mimi sijui, ila wanasema Covid...Mweeeeh! Covid which? Vita si imeimaliza!!
Naaam auntie
