Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Aloooooooh!!!!Nyie subirini nawaambia.








Wacha Bwana..Namruka ndio, kwani mie nawajulia wapi mimi![]()

Yanaishaje na hamyalipi ndio kwanzaaa mnaongezea na ya kikuu nyie![]()





Haki sitengui, labda ukishalipa deni langu.He he he...Kufa kupo tu...
Kwamba utengui kauli? Apia!!!
![]()
Unadhani mie ndio siteseki!! Si najikaza tu
Kwamba Milioni ngapi?
Nyieeee!!!! Oneni mambo yanayonitesa kwa huyu ndugu yangu![]()



He he he he....Na me nimeunganishwa kwenye kutokujulikana auntie

Si ndio!Wacha Bwana..![]()
Haki nimechekaa, sasa wewe unaweza kuchamba hata sisimizi tu kweli?































Mweeeeh! Covid which? Vita si imeimaliza!!
Kikuu wamestop. Covid hiyo![]()
Kichwa kama mbegu ya ubuyu.He he he he....
Huyo mzoeee Auntie....ndiyo ndugu yetu tena tunafanyaje?
Si unajua kila familia ina yule ndugu, yule....Nisimalizie...
Maana nitachambwa hapa![]()
Yanaishaje na hamyalipi ndio kwanzaaa mnaongezea na ya kikuu nyie![]()




Kipenzi chake sasa
Mnajua kuniwezaaa!! Hawa viumbe mnawatoaga wapi nyie watoto!!
Kama wewe ukirudia tena ujinga wako nitakutandika viboko hutaamini majicho yako.





