Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umri umekwenda sana Auntie...
Halafu wajanja wanakula sana mafao yakeLee akanipa majukumu..

...huyo aliyekwambia kuwa mimi ni mzee ndiye adui yangu, sina hakika kama ni Nigendako au mkwepu jr , yaani siku wameniona tu nimevaa foo engo tayari wakasema mimi ni mzee!!!!. Hiiiiiiiii, mimi ni kijana kabisa, mafao nnayokula ni vile tu nilistaafishwa ajira mapema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom