Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umri umekwenda sana Auntie...
Halafu wajanja wanakula sana mafao yake[emoji23]Lee akanipa majukumu..

...huyo aliyekwambia kuwa mimi ni mzee ndiye adui yangu, sina hakika kama ni Nigendako au mkwepu jr , yaani siku wameniona tu nimevaa foo engo tayari wakasema mimi ni mzee!!!!. Hiiiiiiiii, mimi ni kijana kabisa, mafao nnayokula ni vile tu nilistaafishwa ajira mapema
 
Back
Top Bottom