Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Sitaki binamu offer zako...wewe sasa ndiyo ndugu yangu wa kweli, nilijua tu watu walitaka kunichonganisha nikose mambo mazuri. Kinywaji unachokunywa ongeza na kingine kwa gharama zako
Sitaki binamu offer zako...wewe sasa ndiyo ndugu yangu wa kweli, nilijua tu watu walitaka kunichonganisha nikose mambo mazuri. Kinywaji unachokunywa ongeza na kingine kwa gharama zako
Aroooooooh!!!!Ata ukisema mchanga ni sukari anko atalambaaa wala usiwe na shaka wakikuita nyau atajiita pusiiii







HallelujahAmen Aunty akee mimi...
Mwaka umekuja na baraka nyingi sana huu..
Ndo nashangaaaa...katiba yetu ya ukoo haibariki hicho




Hapa alipotea kabisa
Nikasema haya si mapenzi ni mahaba![]()






siku ya kwanza nilimwambia aweke magazeti sijui aliendelea au aliishia yaani hata simu kushika nilikuwa sitaki
He he he....hii naiprint niweke kwa akiba
mimi kabisa nikasema nitaweza kutoa mahari!!!? Mimi huyu huyu kweli? Kwa kweli nahitaji uangalizi kama nilisema maneno haya





Ata ukisema mchanga ni sukari anko atalambaaa wala usiwe na shaka wakikuita nyau atajiita pusiiii




acha nilale tu
Sanaaaa enjoy tu auntie maisha ndio hayahayaAcha tu Auntie...
Kupendwa unapopendwa raha sana..
Na'enjoy nyie!!!
Hayo ndio mapenzi auntie mapenzi ya drama ya nini watu tushakuwa wazeeHalafu Uncle yuko na yale Mapenzi ya kikubwa..
No drama...![]()
Aliweka wapi Auntie.? Panda mlima uone Uhuni aliotufanyiasiku ya kwanza nilimwambia aweke magazeti sijui aliendelea au aliishia yaani hata simu kushika nilikuwa sitaki

Nakuelewa auntieSanaaa Shem..
Kuna ile feelings hakuna mtu anaeza elewa..
Mapenzi shenzii sana...achana na mapenzi auntie

Aliweka wapi Auntie.? Panda mlima uone Uhuni aliotufanyia
Pole Aunty akee.. utakuwa sawa..



usiniambie auntie magazeti hajawekaImagine Auntie..Hayo ndio mapenzi auntie mapenzi ya drala ya nini watu tushakuwa wazee
usiniambie auntie magazeti hajaweka


Lee hafai.
Niliweka mbona babeusiniambie auntie magazeti hajaweka