Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220415-215053_Instagram.jpg
 
| BIGIRIMANA ABEDI YANGA
.
Taarifa za ndani kabisa bosi wa GSM, Hersi Said yupo Rwanda kwa mchakato wa kukamilisha mazungumzo na mabosi wa Kiyovu ili kunasa sajili mbili, kiungo mchezeshaji Bigirimana Abedi na kiungo mkabaji Pitchou Ismail.
.
Awali Yanga ilikuwa na mpango wa kusajili beki wa kati ikiwa na machaguo mawili, Mubarrik Yussif raia wa Ghana na Joash Onyango. Lakini habari za ndani juzi usiku walikubaliana kwa kauli moja kupiga chini usajili wa Onyango na hawatachukua mchezaji yeyote kutoka Simba.
Screenshot_20220415-215252_Instagram.jpg
 
Cristiano Jr akiwa uwanjani kwenye michuano maalum ya vijana huko nchini Hispania kwenye jimbo la Katalunya, anacheza kwenye kikosi cha Manchester United U12

Anafunga sana na style yake ya kushangilia ni kama Baba yake, The siuuuuuu celebration
Screenshot_20220415-215647_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom