Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,006
- 150,541
😊😊😊😊😊Hahhaa yaani Lee usimpe lawama alitaka anifate masikini nikamkatalia ananioea huruma nipo mwenyewe
😊😊😊😊😊Hahhaa yaani Lee usimpe lawama alitaka anifate masikini nikamkatalia ananioea huruma nipo mwenyewe
Amen Uncle.....na kwako pia.
Wamependana hawa 😆😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba kaunganisha
Na wote waseme Amina.....yaani siwezi kabisa kujiangalia aunt, akili zangu na mwili zinahitaji sio tu uangalizi, nahitaji uangalizi wa karibu, Makiwendo awe kioo changu , nikianguka ananiamusha, nikilegea ananikakamalisha. Wabaya wakinisema vibaya ananiziba masikio nisisikie
Najua hutoniangusha na aunt alisema hakuna cha mahaliUmri umekwenda sana Auntie...
Halafu wajanja wanakula sana mafao yake[emoji23]Lee akanipa majukumu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Auntie ni wewe au wajanja wamehuck simu yakoUmri umekwenda sana Auntie...
Halafu wajanja wanakula sana mafao yake[emoji23]Lee akanipa majukumu..
Na uzuri ni mama mchungaji 2...yaani siwezi kabisa kujiangalia aunt, akili zangu na mwili zinahitaji sio tu uangalizi, nahitaji uangalizi wa karibu, Makiwendo awe kioo changu , nikianguka ananiamusha, nikilegea ananikakamalisha. Wabaya wakinisema vibaya ananiziba masikio nisisikie
Hahahha sitaki kuaminiWamependana hawa [emoji38][emoji38]
Hebu weka baraka zako Auntie...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyieeee jamaniiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zanguNa wote waseme Amina..
Hapa utapata vingi.. tulizana[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani anko anakupendaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahari auntie kakataaNajua hutoniangusha na aunt alisema hakuna cha mahali
Ntamuelewesha huyu aunt yako ...wewe huyo ashakuwa wako akinywa maji anakuona kwenye maji...nilijua tu, mtu wa kwanza kuniharibia angekuwa ni ndugu yangu. Anko Lee njoo uone hujuma nazofanyiwa na CAG huko, naona dalili zote za hujuma, ngoja nitoke kanisani niende kwa yule mganga wetu aroge mtu
Kipindi unaumwa wao wanabeibishanaHahahha sitaki kuamini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamependana hawa [emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sina namna auntie ulipo nipo acha niweke tu baraka zanguHebu weka baraka zako Auntie...
Huu mwaka huu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ye kaumwa wapi sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekumiss Shem... Yaani Aunty yangu kaumwa na wewe umeumwa?
Nilikuwa namuandalia michemshoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekumiss Shem... Yaani Aunty yangu kaumwa na wewe umeumwa?