Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
😊😊😊😊😊Hahhaa yaani Lee usimpe lawama alitaka anifate masikini nikamkatalia ananioea huruma nipo mwenyewe
😊😊😊😊😊Hahhaa yaani Lee usimpe lawama alitaka anifate masikini nikamkatalia ananioea huruma nipo mwenyewe
Amen Uncle.....na kwako pia.
Wamependana hawa 😆😆kwamba kaunganisha
Na wote waseme Amina.....yaani siwezi kabisa kujiangalia aunt, akili zangu na mwili zinahitaji sio tu uangalizi, nahitaji uangalizi wa karibu, Makiwendo awe kioo changu , nikianguka ananiamusha, nikilegea ananikakamalisha. Wabaya wakinisema vibaya ananiziba masikio nisisikie

Najua hutoniangusha na aunt alisema hakuna cha mahaliUmri umekwenda sana Auntie...
Halafu wajanja wanakula sana mafao yakeLee akanipa majukumu..
Umri umekwenda sana Auntie...
Halafu wajanja wanakula sana mafao yakeLee akanipa majukumu..



Auntie ni wewe au wajanja wamehuck simu yako
Na uzuri ni mama mchungaji 2...yaani siwezi kabisa kujiangalia aunt, akili zangu na mwili zinahitaji sio tu uangalizi, nahitaji uangalizi wa karibu, Makiwendo awe kioo changu , nikianguka ananiamusha, nikilegea ananikakamalisha. Wabaya wakinisema vibaya ananiziba masikio nisisikie
Hahahha sitaki kuaminiWamependana hawa![]()
Jamani anko anakupendaa





Najua hutoniangusha na aunt alisema hakuna cha mahali




mahari auntie kakataa
Ntamuelewesha huyu aunt yako ...wewe huyo ashakuwa wako akinywa maji anakuona kwenye maji...nilijua tu, mtu wa kwanza kuniharibia angekuwa ni ndugu yangu. Anko Lee njoo uone hujuma nazofanyiwa na CAG huko, naona dalili zote za hujuma, ngoja nitoke kanisani niende kwa yule mganga wetu aroge mtu
Kipindi unaumwa wao wanabeibishanaHahahha sitaki kuamini
Hebu weka baraka zako Auntie...
Huu mwaka huu...



Sina namna auntie ulipo nipo acha niweke tu baraka zangu
Nimekumiss Shem... Yaani Aunty yangu kaumwa na wewe umeumwa?



Ye kaumwa wapi sasa
Nilikuwa namuandalia michemshoo
Nimekumiss Shem... Yaani Aunty yangu kaumwa na wewe umeumwa?