Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,652
....hili neno limenifanya nijisikie faraja sana, maana hapa nilikuwa najipanga kuwachangisha ndugu zangu Lee , Nigendako shululu wajichangechange wanipe mahari na mshenga aje anitongozee huyu mrembo
Eti shemeji!! Ila afadhali labda nami nitapata nafasi ya kupumua ukiwa busy na mahaba.
Mwambie hatuhitaji hata mahari, akuchukue fasta fasta.




