Makapuku Forum

Makapuku Forum


Eti shemeji!! Ila afadhali labda nami nitapata nafasi ya kupumua ukiwa busy na mahaba.

Mwambie hatuhitaji hata mahari, akuchukue fasta fasta.
....hili neno limenifanya nijisikie faraja sana, maana hapa nilikuwa najipanga kuwachangisha ndugu zangu Lee , Nigendako shululu wajichangechange wanipe mahari na mshenga aje anitongozee huyu mrembo
 
Shangazi mtu kashasema, na shangazi si baba ?
Umejiokotea dodo kwenye mpera
Nitafanya makosa makubwa sana kumbishia shangazi, akisema ndo keshasema

na akiamua jambo lake hakuna wa kumzuia
0d0954dfa3a89e4d24499bb0334a6fcc.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom