Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,566
Huyo auntie yako jambazi kafanyaje tena?
Huyo auntie yako jambazi kafanyaje tena?
Jambazi kazini.Hajui
Usimwambie, hili ni jambo letu mimi na wewe Auntie...
Ataniharibia yule.![]()
NakusalimiaJambazi kazini.
Habari yako mkwe!Nakusalimia
Ako na shida gani?Pole babe shunie utakuwa ok...
Anaumwa umwa kidogo ila anaendelea vzuriAko na shida gani?
Ooh!! Mpe pole sana.Anaumwa umwa kidogo ila anaendelea vzuri
ikiwemo madai 56 yanayoonesha Wanaume walipata huduma ya upasuaji (C/S) au huduma za kawaida za kujifungua wakati huduma hizi hutolewa kwa Wanawake
...lazima nililinde kabla mabazazi hawajaja kuhamisha goli langu





Umeona uje uniharibie kabisa siyo?Jambazi kazini.
