Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Ni yale mafua yamemkamata Shem?Pole babe shunie utakuwa ok...
Kwani kuna haja ya kukuharibia sasaUmeona uje uniharibie kabisa siyo?![]()




Hapo unafanyaje sasa?Kwani kuna haja ya kukuharibia sasa![]()

Hapo unafanyaje sasa?
Hebu acha upate Shemeji wewe![]()





Eti shemeji!! Ila afadhali labda nami nitapata nafasi ya kupumua ukiwa busy na mahaba.
Mwambie hatuhitaji hata mahari, akuchukue fasta fasta.





Kwamba huitaji shemeji?
Eti shemeji!! Ila afadhali labda nami nitapata nafasi ya kupumua ukiwa busy na mahaba.
Mwambie hatuhitaji hata mahari, akuchukue fasta fasta.

Nahitaji, ila huyo muolewaji sasa ndio mbengo zitende muujizaKwamba huitaji shemeji?![]()


Ndio shemNi yale mafua yamemkamata Shem?
ZmefikaOoh!! Mpe pole sana.
😆😆😆😆
Eti shemeji!! Ila afadhali labda nami nitapata nafasi ya kupumua ukiwa busy na mahaba.
Mwambie hatuhitaji hata mahari, akuchukue fasta fasta.
Nahitaji, ila huyo muolewaji sasa ndio mbengo zitende muujiza![]()






Mpe pole sana Shem Darling....Ndio shem
Nipe pole Shem...Nimepatikana

Anko wetu mzima ?Nipe pole Shem...Nimepatikana![]()
Hahahahahaha kaingia chaka lisilokwepekaYuko poa sana...
Mfungo umemkamata tu....