Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
HawaweziNikajua walifanya uvamizi sehemu nyingine
HawaweziNikajua walifanya uvamizi sehemu nyingine
....leo nipo sana aunt, yaani nitakuwepo humu hadi muda wa kula daku.Ila binamu leo unapatikana mda wote
....leo nipo sana aunt, yaani nitakuwepo humu hadi muda wa kula daku.
Si unajua nikikaa nakuwa nimefika. Mafuta bei juu, bundloe linahimilika, nimechagua kinachohimilika






kwahiyo umeamua kukaa kwenye bundle sio binamu

|
Hata mimi nikikaa nimefika Uncle.......leo nipo sana aunt, yaani nitakuwepo humu hadi muda wa kula daku.
Si unajua nikikaa nakuwa nimefika. Mafuta bei juu, bundloe linahimilika, nimechagua kinachohimilika

Pole Auntie...Auntie naona kuumwa kupokezana woiiii nina dalili zote za mafua yaani
Hajui



Analinda goliIla binamu leo unapatikana mda wote

...lazima nililinde kabla mabazazi hawajaja kuhamisha goli languAnalinda goli![]()