Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tuna jambo letu Auntie
499fae4ddbda80ea4f947b60bf0eea2a.gif
 
Makapuku ni kama utamaduni, kwa hiyo swali lako linauliza lini tutaacha utamaduni?

Makapuku ni watumishi wa serikali, wafanyakazi wa sekta zote wanaolipiwa gharama za maisha na waajiri wao (wananchi). Endelea kudhani kuwa Makapuku watabadili jina ilhali wanafaidika na kila kodi unayolipa mjini na kijijini.

Utlivu, Furaha kuvipata acha kufanya kila jambo kuwa ni gumu, maisha yana ucheshi mwingi na unauhitaji
Naaam binamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom