Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Hapana Auntie...Nataka ale mafao yake kwa Amani...
Nas jina tu hilo wala usiliogope
Itabidi ustaafu kwa hiari Uncle...bado miaka 5 nianze kula mafao. Wakulima tunastaafu mapema. Kwa sasa hivi labda nikutane na dereva mjinga aniingize vichakani kule bima ya afya isipofika

Tuna jambo letu Auntie![]()
Ila Anne kujiandaa na nini tenaNgoja waje kukuchamba mkurugenzi wetu
Wenzio tushajiaandaa .
Naaam binamuMakapuku ni kama utamaduni, kwa hiyo swali lako linauliza lini tutaacha utamaduni?
Makapuku ni watumishi wa serikali, wafanyakazi wa sekta zote wanaolipiwa gharama za maisha na waajiri wao (wananchi). Endelea kudhani kuwa Makapuku watabadili jina ilhali wanafaidika na kila kodi unayolipa mjini na kijijini.
Utlivu, Furaha kuvipata acha kufanya kila jambo kuwa ni gumu, maisha yana ucheshi mwingi na unauhitaji
Auntie naona kuumwa kupokezana woiiii nina dalili zote za mafua yaaniJamani Auntie...
Nafurahu kusikia mko salama...
Hapana Auntie...Nataka ale mafao yake kwa Amani...



Ili ukiwa pembeni si eti auntie ila auntie Espy Eroni anafahamu haya
...bado miaka 5 nianze kula mafao. Wakulima tunastaafu mapema. Kwa sasa hivi labda nikutane na dereva mjinga aniingize vichakani kule bima ya afya isipofika




Ila binamu leo unapatikana mda wote
Shukrani mkuu barikiwaSawa Mkuu,, endelea kutuhabarisha na Magazeti
Kuchambana na wavamizi![]()



kwamba msukuma shimba yeye hataweza hizi mamboAtawezana kuchambana na Watu wanavamia kama alshaabi unakuta tu Hawa hapakwamba msukuma shimba yeye hataweza hizi mambo





Atawezana kuchambana na Watu wanavamia kama alshaabi unakuta tu Hawa hapa![]()



walivamia wapi kwani
Ankoo umezima simu ya ttcl?
Niliona humu wamevamia![]()



Nikajua walifanya uvamizi sehemu nyingine