Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Yaaan anko wangu anajionea wivuuuAaaaaaaah!!!! Shem
Wivu wa nini Shem...Na upo na Aunty yangu huyo...
Mtoto wa Kitanga yule...Nadhani unanielewa![]()
Yaaan anko wangu anajionea wivuuuAaaaaaaah!!!! Shem
Wivu wa nini Shem...Na upo na Aunty yangu huyo...
Mtoto wa Kitanga yule...Nadhani unanielewa![]()
Kuna na mradi wa bata mzinga ..meiniii sapulayaaaaHaswaaaaaa....
Wacha tumsaidie Uncle kumtunzia Mapato ya Korosho![]()
Kuna na mradi wa bata mzinga ..meiniii sapulayaaaa







Oooooh!!!!
Auntie jamani nikukimbie niende wapi mimi jamani..
Hapa ndiyo sebuleni kwangu Auntie
Mnaendeleaje na huyo mtoto wa Mtu?



maana auntie naona week yote nipo mwenyewe makapuku wote mmekimbia tunaendele vizuri na mtoto wa mwanamke mwenzangu
Kwamba auntie unataka kumpoteea huyo mzeeHe he he..Ataenjoy sana...
Atakupa mrejeshoMnaweza msimuone humu kabisa
![]()



Nipo hapa auntie
Nas jina tu hilo wala usiliogopeNi lini mtaacha kuwa makapuku..?
Hayo ndo maneno mbona anko atanyookaaa
Na Mama Mjengo nipo hapa![]()
Ngoja waje kukuchamba mkurugenzi wetuKuna malimbukeni wa mapenzi huko wameteka uzi![]()



Uncle bhana...
Eti single but not alone...
Wewe je? Upo single au single but not alone?
Makapuku ni kama utamaduni, kwa hiyo swali lako linauliza lini tutaacha utamaduni?Ni lini mtaacha kuwa makapuku..?
Jamani Auntie...maana auntie naona week yote nipo mwenyewe makapuku wote mmekimbia tunaendele vizuri na mtoto wa mwanamke mwenzangu
Kwamba auntie unataka kumpoteea huyo mzee![]()




Tuna jambo letu AuntieNipo hapa auntie

....uncle tulia kwanza, mimi niko alone ila siko single maana tangu nianze muziki sikutoa single tena, ni mwendo wa album tu na hata michango nnachanga double



