Makapuku Forum

Makapuku Forum

Anko mm naanza wapiii kukupondaa...wewe ndo si ndo mjomba na mjomba ni mama ...nilikuwa nakumbushia zile habar za zaman kabla hujakutama na makiiiiiiiiii

Sasa sikia hapa mjomba Nige asijue mapema unamjua
...hapa napiga sala zote binamu Nigendako asije maana mtu wa dini yule ataniharibia.

Unakumbuka alikuharibia kule kwa mama Ashura!? Kama aunt angekuwa na roho nyepesi sasa hivi anko ungekuwa single but not alone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom