Makapuku Forum

Makapuku Forum

....uongo dhambi, kwa kweli file langu lipo hivyo sana, watu wa masjala wana visa sana, hata cover hawajaliwekea.
Ila content ziko vizuri sana, lifungue uone.

Usimsikilize anko wangu, tuna ugomvi wa ukoo
Watu wa Masjala wamekupa file jekundu Uncle ikimaanisha file lako ni Siri ila siri Kuu

Sawa Uncle, mimi nakusikiliza wewe, wewe peke yako tu
 
Hapa mbwai na iwe...

....sasa anko twende taratibu, unajua kabisa mpwao ninapataka hapo sasa usiharibu sana.

Huu ni wakati wa wewe kunifagilia, mbona mimi kule kwa yule cheupe wa bank nilikufagilia sana.
Wewe nifagilia nikishindwa ndiyo unipondee kabisa hadi wasijue kama sisi ni ndugu
 
Watu wa Masjala wamekupa file jekundu Uncle ikimaanisha file lako ni Siri ila siri Kuu

Sawa Uncle, mimi nakusikiliza wewe, wewe peke yako tu

....hapa sasa kwa maneno haya unataka kunitia wazimu, yaani maneno matamu hadi nahisi kuwehuka. Maneno yako tu sukari huko kwingine si itakuwa mchanganyiko wa chapati na karanga
 
....sasa anko twende taratibu, unajua kabisa mpwao ninapataka hapo sasa usiharibu sana.

Huu ni wakati wa wewe kunifagilia, mbona mimi kule kwa yule cheupe wa bank nilikufagilia sana.
Wewe nifagilia nikishindwa ndiyo unipondee kabisa hadi wasijue kama sisi ni ndugu
Anko mm naanza wapiii kukupondaa...wewe ndo si ndo mjomba na mjomba ni mama ...nilikuwa nakumbushia zile habar za zaman kabla hujakutama na makiiiiiiiiii

Sasa sikia hapa mjomba Nige asijue mapema unamjua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom