Mwisho wake Mungu anawaumbua kama alivyowaumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] screenshots utume makapuku kweliYaani acha kabisaa sikutegemea kabisaa
Ila mmegundua kuna watu humu tunaishia nao tu!unaafiki mwingi na wanapenda watu wagombane sana maana mpk watu wanakosea[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]wanatuma humu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenzangu!!! Tukaanza kutukanwa na sehemu zetu nyeti utadhani anazijua[emoji2]
Shots ndo ile ilikosewa ilikua inakuja kwako[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]!!!!?!!!Jobless ndio naingia apa auntie [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja nisome kwanza shots nilizotumiwa kwanza za jana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi nacheka nini hata sijuiKuna mtu Mods wamepita naye....
He he he...
reymage faida za kukaa kimya umeziona? Naona na comment baadhi zilianza kufutwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo text zimefutwa auMwenzangu!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Na sura yangu hii Mweh..
Na hivi nyuma wala mbele hakueleweki[emoji28]
Hebu tukae kwa kutulia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]ila hii nchi kujinyonga uamue tuNdio bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila jana nimepewa kazi ya shell nimeshukuru nimeshatoka kwenye ujobless
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]povuuuuuu!!!makasirikio at work!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Angepiga Heineken angeingia atume ule upuuz wao wanachat bwana na bibi na bibi na mashoga zake pm uwiiiii. Endelea kumshikia simu maana Msambaa anakuaga kama katiwa ndimu
Na mimi hiki ndio ninachokitaka uje na I'd yako yaani ukija na I'd yako ya nyuma sina mda na wewe halafu unaniogopa mbona me nipo na ya shunie apa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahaaaaaa...uunge ID eeeh? Sema waoga wangeandika na ID zao tunazozijua bwana. Wamejazana ujinga huko PM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri leo haingii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenda huko..
Utanionea bure..Imagine nina miaka 8 JF Ban naisikia tu...
Hata kipindi kile JF imechafuka( nadhani unakumbuka) watu walikuwa wanalimwa Ban si mchezo....
Leo unipe Ban kirahisi tu Shem? Aaaaah Bwana!!!![emoji2]
Ulipoishia jukwaa limenoga naona mbugi inachezwa humuu!!!mambo yamehamia hukuu!!Sijui hata naanzia wapi text zote hizoooo
Hongera na mie mnitumie jamani!msikosee njia[emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]Ila familia yangu hizi shots mlizonitumia ngoja kwanza nianze kusoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ebhu achana na hizi mambo ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] handbags zimewaumiza pale chumbani tu pa kubadilisha nguo na habdbags narudia tena sikai store [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣 leta je wajua ...Nyieeeee shunie ana watuuuu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sem wanaumbuka kama hivyo na umbea waoNimecheka sana Jana[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]aliko anajutaa!umbea mbaya sana!
Wasimamia kucha wapo wengi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Babe acha kufukua makaburi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema umewatikisaaaaa. Mpaka kufufua ID zao fake. Waoga sana kama wanajiamini wangekuja na ID zao.Ndio bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila jana nimepewa kazi ya shell nimeshukuru nimeshatoka kwenye ujobless