Mwisho wake Mungu anawaumbua kama alivyowaumbuaYaani acha kabisaa sikutegemea kabisaa
Ila mmegundua kuna watu humu tunaishia nao tu!unaafiki mwingi na wanapenda watu wagombane sana maana mpk watu wanakoseawanatuma humu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nipo apa auntie akee
Mwenzangu!!! Tukaanza kutukanwa na sehemu zetu nyeti utadhani anazijua
Shots ndo ile ilikosewa ilikua inakuja kwakoJobless ndio naingia apa auntiengoja nisome kwanza shots nilizotumiwa kwanza za jana
Kwahiyo text zimefutwa auMwenzangu!!!
Na sura yangu hii Mweh..
Na hivi nyuma wala mbele hakueleweki
Hebu tukae kwa kutulia
Ndio bwanaila jana nimepewa kazi ya shell nimeshukuru nimeshatoka kwenye ujobless
Angepiga Heineken angeingia atume ule upuuz wao wanachat bwana na bibi na bibi na mashoga zake pm uwiiiii. Endelea kumshikia simu maana Msambaa anakuaga kama katiwa ndimu
Na mimi hiki ndio ninachokitaka uje na I'd yako yaani ukija na I'd yako ya nyuma sina mda na wewe halafu unaniogopa mbona me nipo na ya shunie apaHahahahaaaaaa...uunge ID eeeh? Sema waoga wangeandika na ID zao tunazozijua bwana. Wamejazana ujinga huko PM
Kwenda huko..
Utanionea bure..Imagine nina miaka 8 JF Ban naisikia tu...
Hata kipindi kile JF imechafuka( nadhani unakumbuka) watu walikuwa wanalimwa Ban si mchezo....
Leo unipe Ban kirahisi tu Shem? Aaaaah Bwana!!!!
Ulipoishia jukwaa limenoga naona mbugi inachezwa humuu!!!mambo yamehamia hukuu!!Sijui hata naanzia wapi text zote hizoooo
Hongera na mie mnitumie jamani!msikosee njiaIla familia yangu hizi shots mlizonitumia ngoja kwanza nianze kusoma
Ebhu achana na hizi mambo ...handbags zimewaumiza pale chumbani tu pa kubadilisha nguo na habdbags narudia tena sikai store
🤣🤣🤣🤣 leta je wajua ...Nyieeeee shunie ana watuuuu.
Nimecheka sana Janaaliko anajutaa!umbea mbaya sana!
Wasimamia kucha wapo wengi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Babe acha kufukua makaburi
Sema umewatikisaaaaa. Mpaka kufufua ID zao fake. Waoga sana kama wanajiamini wangekuja na ID zao.Ndio bwanaila jana nimepewa kazi ya shell nimeshukuru nimeshatoka kwenye ujobless