Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,488
- 176,543
Nyie endeleeni tu kuninyasanyasa muone!!Huwezi utaanzaje![]()
Nyie endeleeni tu kuninyasanyasa muone!!Huwezi utaanzaje![]()
Salama kabisasalama ?
Yaani nilijifanya mzungu nilijutaaa na yote hiyo uvivu wa kupikaUkajifanya mzungu eeh
Mie nishakuwa mzoefu, kuna siku nilisahau kama macha sikula nikalala tena bila kula. Nilishtuka usiku nahisi naumwa kila mahali, kumbe njaa bwana![]()
Salama we mzee za kuadimikasalama ?
hahahaha nipo shangaziSalama we mzee za kuadimika
safiSalama kabisa
Nimefurahi kukuona we mzeehahahaha nipo shangazi
Tuko hapaaaaNimewamiss familia yangunipo busy busy leo
hahahahaNimefurahi kukuona we mzee
Shunie mma shunie majiiiiutake utaniongelea tu usitake utaniongelea ipo hivyoooooo
Halafu jobless mimi navaa gram 10 shingoniusishindane na mimi kabisa kukaaa na mbwa wenzio kuniongelea ongelea View attachment 2168205












auntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao
Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai storewakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii
Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni











Akiyananiumepata auntie tutaenda Indira ghandi
unapoamua kunisema ujue kuvaa hata silver basi mtu mshamba upo uswekeni uko unaanza tu kuniongelea hovyo
![]()




















Ya makapuakomeee D kukaa kuniongelea hovyo mtu unavaa mahereni ya makapu na ushamba wake uanze tu kuniongelea vibaya kabla haujamzungumzia mtu angalia yupojeee









Nyerere square nimekumbuka mbalihereni za makapu !!!
Mpaka nimekumbuka mambo ya sabasaba na nyerere square reymage
Msamehe dada, chambo limemfikia. Aloooh![]()

BabeqWe mbwaaaahapo sio dukani hapo ni chumbani kwangu
na hilo ni kabati langu la handbags
siishi store mimi na ukianza kuniongelea fananisha maisha yangu na yako
View attachment 2168507












@Shunie ana watuNikiwaambia shunie ni maaaaah hawasikiiii
Sasa rasmi shunie ni taasisi
Taarifaa zinakufikiajee kwani![]()