Makapuku Forum

Makapuku Forum

auntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao

Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai store wakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii

Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni

Store
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom