Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,010
Sawa auntieNa nachagua la kuchukua.
Sawa auntieNa nachagua la kuchukua.
Umesuluhisha nini? Mie ndio nimezima moto hapa.
Halafu hivi huyu jobless funguo za ndani kwake anaweka wapi?





Wacha weee




nimekumbuka nina ka ice cream kalibaki. Katanisogeza hadi saa 12 asubuhi.Kununua gold kikuu.
Nimemfundisha nini jamani?
Umesuluhisha nini? Mie ndio nimezima moto hapa.
Halafu hivi huyu jobless funguo za ndani kwake anaweka wapi?






Malipo ni hapa hapa duniani nakwambia.Njoo Home kuna msosi umebaki
Vizinga sitakilabda uchek na Shem wako
![]()
Saaaaana...Si ushasema wewe mtu wa amani lakini![]()

My dada, my one endi onleKumbe kule kote ulikuwa unanipangaWe Mtoto!!



Kununua gold kikuu.






Naihama auntieNdio familia yako sasa utafanyaje

He he he...Malipo ni hapa hapa duniani nakwambia.

He he he...My dada, my one endi onle![]()
Kumsaidia usafi
Sijui hata.. Unataka kufanyaje ndani kwa mwenzako?



Kumsaidia usafi
Sijui hata.. Unataka kufanyaje ndani kwa mwenzako?



Mimi huyooooSaaaaana...
Siku nikizinguliwa humu mnisaidie![]()




Kweli we wa vyuma chakavu, hata mitaa ushaisahau
Mimi ameshaniambia offer yangu Ipo.. Atanipeleka ile mitaa.. Nikatoe hivi vyuma chakavu Masikioni![]()






Wema were? We subiri!!He he he...
Nitalipwa Mema kwa wema wangu.. Si nimekwambia uje kula![]()
Mbingu utaisikia tu.He he he...
Hizi 'mbunu' nazijua..