Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Auntie Basi.. Basi..
Umetukana kwa sauti ya Lee hapo![]()



ila Lee WhatsApp anavyonisema anisamehe tu
Auntie Basi.. Basi..
Umetukana kwa sauti ya Lee hapo![]()



ila Lee WhatsApp anavyonisema anisamehe tuUmenikumbusha Ile Life Auntie...ulikuwa unagawa likes tu





Yaaani...Watu wako na muda sana aiseee...Sanaaaa pm hakufai watu waache kuongea habari zao na maisha yao wanaanza kumuongelea shunie na kutumiana shots mbwa hawa
Leo sijui umemficha wapi Shem wangu...ila Lee WhatsApp anavyonisema anisamehe tu
Umenikumbusha Ile Life Auntie...
Nimecheka mno![]()




ile life auntie sio mchezo
Sijui kazi zao wanafanya saa ngapi kazi kusema watu pm tu shunie hivi shunie vile yaani wanikome kabisa hawa mbwaYaaani...Watu wako na muda sana aiseee...
Anaumwa masikini hayupo sawaLeo sijui umemficha wapi Shem wangu...
Wajute mtu na mtuweAcha tu..
Kuna watu siyo wakuchukoza![]()
Wajute mtu na mtuwe






ooh shunie anataka kumfungulia thread na rafiki zake kwamba wanasema ana ukimwi walifikiria nini kunisingizia uwongo hawa mbwaMpe pole sana jamani..Anaumwa masikini hayupo sawa
Wajute mtu na mtuwe

Zimefika auntieMpe pole sana jamani..
Mwambie amemissika sana jamani...
Nikiamka mali zangu zoote naziona. Ndoo na kopo la kuogea, jiko langu la mkaa uvunguni, shangazi kaja yangu ya nguo, na siwazi wala nini.Kwani weww Unaishi store?
Matusi ya Shunie sio madogo ndugu yangu, inabidi kikao cha ukoo kikae.Acha tu life hiili!hii infinix tolea la kwanza kabisaa!!!na kimeo balaa!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nikiamka mali zangu zoote naziona. Ndoo na kopo la kuogea, jiko langu la mkaa uvunguni, shangazi kaja yangu ya nguo, na siwazi wala nini.








