Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mimi nimo kwenye hiyo familia au simo? Nijibu hapa hapa nijue cha kufanya.



Auntie umo bwana
Mimi nimo kwenye hiyo familia au simo? Nijibu hapa hapa nijue cha kufanya.



Auntie umo bwanaMimi mwenyewe mgeni kwa kweli
Usinichekee auntie, niambie kwanza aifoni yangu lini?
Usinichekee auntie, niambie kwanza aifoni yangu lini?



mpaka niolewe
Hapo hajapiga vitu!!



yaani wana bahati hawa mbwa waombee kwaresma iendelee tu
Wewe huyo?




mimi huyuuuu nilijua tu maana tusije tukaja kudaiwa iphone ya watu




Nikiamka mali zangu zoote naziona. Ndoo na kopo la kuogea, jiko langu la mkaa uvunguni, shangazi kaja yangu ya nguo, na siwazi wala nini.





