Makapuku Forum

Makapuku Forum

auntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao

Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai store wakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii

Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
Sawaaa!ila niambie kinaendelea nini !kama vipi nikodo baasi nna,sijapata ban siku nyingi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom