Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Umenifanya nipande mlima nisome tena comment..Auntie we ni nani nisikusilize hivi Indira ghandi kwenyewe anapajua
au basi tuishie hapa


Apajulie wapi sasa?

Umenifanya nipande mlima nisome tena comment..Auntie we ni nani nisikusilize hivi Indira ghandi kwenyewe anapajua
au basi tuishie hapa



Umenifanya nipande mlima nisome tena comment..
Apajulie wapi sasa?![]()




ulikuwa haujaelewa auntie
Nilikuwa sijaelewa...Wengeulikuwa haujaelewa auntie

Nache basi Auntie....vitu vinachekesha ujue![]()




kwaresma iishe nipige chupa zangu za kijani miekwaresma iishe nipige chupa zangu za kijani mie







Tusifokeane bwanaShunie mma shunie majiiiiutake utaniongelea tu usitake utaniongelea ipo hivyoooooo
Halafu jobless mimi navaa gram 10 shingoniusishindane na mimi kabisa kukaaa na mbwa wenzio kuniongelea ongelea View attachment 2168205


!!kwani kuna habari ganiii
Take Us slow Auntie!!! Pls...
Eti Shunie mma..Shunie majii
Nimecheka hivyo...
Auntie naomba hata gram moja basi..Nami nitoe hivi vyuma chakavu maskioni![]()

vyuma chakavu etiiiBado siku wiki kadhaa tu tunamaliza...kwaresma iishe nipige chupa zangu za kijani mie
Sawaaa!ila niambie kinaendelea nini !kama vipi nikodo baasi nna,sijapata ban siku nyingiauntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao
Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai storewakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii
Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
Mwenzangu....mabondo


umepata auntie tutaenda Indira ghandi
unapoamua kunisema ujue kuvaa hata silver basi mtu mshamba upo uswekeni uko unaanza tu kuniongelea hovyo
![]()








uswekeni kwiooo!!makiwenddo!Ha ha ha ha...uswekeni kwiooo!!makiwenddo!
Mwanao mpe maji anywee
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app


Acha tu life hiili!hii infinix tolea la kwanza kabisaa!!!na kimeo balaa!Auntie malipo ni hia hia nakwambia. Unavaa milioni mbili wakati mimi simu nimefunga na "barabendi"![]()
Nnavyo hapa sikioni kaahh!tutajua hatujuiMwenzangu....mabondo
Ukipoteza hata hereni moja huwazi![]()







Balaa zitoHa ha ha ha...
Ameshatulia...ila akikimbuka hasira ikipanda tena analiamsha
Vita ni vita Rey![]()







kwa resma hii!samehe 7x70