Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi uliona ile anaambiwa eti shunie anataka kuzaa na mimi ila mimi sipo tayari [emoji1787][emoji1787] na limwanamke linabeba habari kama zilivyo linakuja kuonyesha wenzie

Mimi huyu nitake kuzaa kifala [emoji1787][emoji1787] hivi wananichukuliaje hawa lakini
Nimeona bwana. Na ile eti nimemuacha kalala kwangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba jobless,? Eti Auntie Shunie umekuwa omba omba kwani siku hizi Mama,?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenyewe najiweza sanaaa tu bila msaada wa mtu na sitegemi hela ya mwanaume kuishi maisha yangu ninayoishi
 
Back
Top Bottom