Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Huo Uzi umekosa matumizi ya hilo Bando? Mbutaaaaa.Nataka taarifa za kujazia jazia kwenye uzi dada![]()



Hapana, wewe tulikuzaa na anti-virus hivyo wameungua wenyewe.






Leo baada ya auntie yangu kubeba mimba ya miujiza.Marahabaaaaa..
Huo Upanbe umeanza lini?![]()
Ndio matumizi hayoHuo Uzi umekosa matumizi ya hilo Bando? Mbutaaaaa.![]()




Hizi ni taarifa ambazo ndugu lazima tuwe nazo.
Aaah weeeh virusi gani hivyo visivyo na aibu vya kuingia kwenye huu ukoo?
Unajua una ujinga mwingi sana wewe.
Imagine!!!!Hizi ni taarifa ambazo ndugu lazima tuwe nazo.

Ila... Huyo jamaa kazi anayo
Naona mwingine jana kalike comment ya Shunie hapa.. Nilicheka![]()







Nimeona bwana. Na ile eti nimemuacha kalala kwanguHivi uliona ile anaambiwa eti shunie anataka kuzaa na mimi ila mimi sipo tayarina limwanamke linabeba habari kama zilivyo linakuja kuonyesha wenzie
Mimi huyu nitake kuzaa kifalahivi wananichukuliaje hawa lakini








Nilicheka.. Nikasema mdomo koma..
Auntie aone mwenyewe tu![]()



niliona nikabaki najiuliza imekuwaje yaani mbona sielewii
Mbona mimi sijaona Auntie...?
Make hapo kwanza nicheke![]()




Auntie utaona tu bwana



mwenyewe najiweza sanaaa tu bila msaada wa mtu na sitegemi hela ya mwanaume kuishi maisha yangu ninayoishi
Kwahiyo auntie yangu uko na upako eenhAuntie unahitaji upako kuyaona bwana![]()
Leo baada ya auntie yangu kubeba mimba ya miujiza.




mimba ya miujiza na kuitoa
Aaah weeeh virusi gani hivyo visivyo na aibu vya kuingia kwenye huu ukoo?





