Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Kama kaungua basi na ndugu yetu nae tayari. Hivi unaweza mtangazia mwanaume wako kaungua kweli?. Yani walivyo mabolizozo hata hawatumii tu akili kwamba hamna mtu analala na mtu halafu anamtangaza ana UKIMWI



Mniacheeeeee
