Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huku umeme upo na nimeongea na ndugu yangu yupo shinyanga nae analalamika umeme kwamba kuna mgao kwao wapo na giza
Yaaaani..Mimi nachoka jamani...
Imagine job tangu asubuhi Hakuna Umeme muda wa kuondoka eti ndiyo wanarudisha...

Nafika Home naambiwa umekatika Saa 12..Hapa ndiyo wamerudisha..
Namna hii si mateso jamani..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom