Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Haswaaa....ndio inavyotakiwa auntie tunaishi kutokana na uwezo wetu
Chako kinakupa raha buana...hata kama kidogo...
Cha kupewa kiwe nyongeza tu..kikiwepo sawa, kisiwepo sawa...
Haswaaa....ndio inavyotakiwa auntie tunaishi kutokana na uwezo wetu
Yaaaani..Mimi nachoka jamani...Huku umeme upo na nimeongea na ndugu yangu yupo shinyanga nae analalamika umeme kwamba kuna mgao kwao wapo na giza
Aaah we tangu lini jobless akajiweza!!!







Ha ha ha...Tatizo hamna upako, huo mji hameni mtasingiziwa hadi ebola.

Naam AuntieHaswaaa....
Chako kinakupa raha buana...hata kama kidogo...
Cha kupewa kiwe nyongeza tu..kikiwepo sawa, kisiwepo sawa...

tena unakuwa na amani ya moyo
Unajua nahisi kuna kamgao leo job ulikatika kama mara 3Yaaaani..Mimi nachoka jamani...
Imagine job tangu asubuhi Hakuna Umeme muda wa kuondoka eti ndiyo wanarudisha...
Nafika Home naambiwa umekatika Saa 12..Hapa ndiyo wamerudisha..
Namna hii si mateso jamani..
Kabisa..kabisa..Naam Auntietena unakuwa na amani ya moyo
Hahahha namjua vyedi auntie
Huyo Akili zake anazijua mwenyewe...
Ila Auntie namna Ile..Mbinguni tukifika si itabidi tupewe Mo Energy...
Maana itakuwa zaidi ya kuchoka...





watu wanayaweza auntieNi mateso Auntie..Unajua nahisi kuna kamgao leo job ulikatika kama mara 3
Kabisa...watu wanayaweza auntie
Ha ha ha...
Ni wewe unaniambia haya maneno kweli? Kuwa uwezekano Wamekudukua...
Hebu ongea na Melo akuturudishie akaunti yako mdogo wangu![]()




Hahahah pole auntie kijijini kwangu upoNi mateso Auntie..
Imagine namna hii na huu mji? Waiiiiiii
Nakutafuta 🙊