Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218
Mbona na bwana waoKwani akitoa zile ushahidi unadhani anahitaji marafiki sisi tumpe back up? Yani ni aibu kwa watu wazima walio kwenye forum kama hii kujazana upupu na kuusambaza. Kwa kifupi bidada na bwana wao na hao wengine waliokua wanachat PM tunasema WANAJITISHA.




Ujinga nao mzigo.
