Makapuku Forum

Makapuku Forum

My ndugu wasamehe ila ukisikia tena toa ushahidi wooote umuache chiu ntu na ntue.

Hivi wakipita wakiona kwamba na ushahidi wa message zao za WhatsApp na PM sijui wanajisikiaje .

Sema ule mwandiko wa ule kaka umekaa mwanaume flani anaependa attention na uzuri kajua mwanamke wake rahisi kumchota akili ndo maana akawa anamjaza vile.

Halafu kwani mwanaume hawezi kuomba chiu mpaka ampondee mwanamke mwingine??? Mshamba sana huyu memba mfyuuuu
Hapa nawaza hivi sio yale mabooza mawili ya siku zote kweli
 
Hapa nawaza hivi sio yale mabooza mawili ya siku zote kweli
Itakua ndo hayo hayo. Halafu sasa kijana yuko busy anaimbidha ID ingine wakati bidada anahangaika PM kumjadili Shunie . Asipokua makini atagombanishwa na wanawake wote huku na huyo bwana wao na wakati akigombana muzee anavuta totoz ingine aijaze upupu
 
Eeeh bwana wao maana na yeye ndo anamjaza huyo mwanamke wake eti Shunie anataka kuzaa nae na yeye hataki. . Sasa hata kama ni kweli unaenda kumwambia ex wako ili iweje? Kwamba unapendwa sana au? USHAMBA MZIGO
Si wamekutana mapooza wote, sasa wataongea nini zaidi ya huo upuuzi. Yale ni mapooza matakatifu. Match made in hell.
 
Itakua ndo hayo hayo. Halafu sasa kijana yuko busy anaimbidha ID ingine wakati bidada anahangaika PM kumjadili Shunie . Asipokua makini atagombanishwa na wanawake wote huku na huyo bwana wao na wakati akigombana muzee anavuta totoz ingine aijaze upupu
Sasa kwani hata akili ya kung'amua hilo unafikiri anazo!!
 
Kama kaungua basi na ndugu yetu nae tayari. Hivi unaweza mtangazia mwanaume wako kaungua kweli? . Yani walivyo mabolizozo hata hawatumii tu akili kwamba hamna mtu analala na mtu halafu anamtangaza ana UKIMWI
Ujinga nao kipaji walah
Hizo akili za kufikiria hivyo hawana trust me. Yaani hapo ndipo ufahamu wao ulipofikia.
 
Itakua ndo hayo hayo. Halafu sasa kijana yuko busy anaimbidha ID ingine wakati bidada anahangaika PM kumjadili Shunie . Asipokua makini atagombanishwa na wanawake wote huku na huyo bwana wao na wakati akigombana muzee anavuta totoz ingine aijaze upupu
Najiuliza huyu dada pm anakosa vya kuongea kweli ni shuniee shuniee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom