Makapuku Forum

Makapuku Forum

nitakupa mpaka chart zao uweke kabisa kwa thread
My ndugu wasamehe ila ukisikia tena toa ushahidi wooote umuache chiu ntu na ntue.

Hivi wakipita wakiona kwamba na ushahidi wa message zao za WhatsApp na PM sijui wanajisikiaje .

Sema ule mwandiko wa ule kaka umekaa mwanaume flani anaependa attention na uzuri kajua mwanamke wake rahisi kumchota akili ndo maana akawa anamjaza vile.

Halafu kwani mwanaume hawezi kuomba chiu mpaka ampondee mwanamke mwingine??? Mshamba sana huyu memba mfyuuuu
 
Marafiki ndio sie, sitamuangusha na siredi matataaaa yenye viambatanisho
Kwani akitoa zile ushahidi unadhani anahitaji marafiki sisi tumpe back up? Yani ni aibu kwa watu wazima walio kwenye forum kama hii kujazana upupu na kuusambaza. Kwa kifupi bidada na bwana wao na hao wengine waliokua wanachat PM tunasema WANAJITISHA.
 
Kwani akitoa zile ushahidi unadhani anahitaji marafiki sisi tumpe back up? Yani ni aibu kwa watu wazima walio kwenye forum kama hii kujazana upupu na kuusambaza. Kwa kifupi bidada na bwana wao na hao wengine waliokua wanachat PM tunasema WANAJITISHA.
Wanajitisha eti shunie ametoa mimba ndugu yangu niwe na mimba usijue ila watu wa jf kwa kutunga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom