Makapuku Forum

Makapuku Forum

kuna mbwa zinakera sana yaani wanakaaa tu uko pm kwao wanakutungia habari eti shunie anataka kumwandikia thread mtu ana ukimwi hivi hawa mbwa wananichukuliaje mimi lakini kunitungia story zao yaani unabaki unashangaa kusikia hizo habari maana ndio mara yako ya kwanza na evidence juu yaani huyu dada anikome jamani kunifatafata
Mmhhh!!!kazi mnayo miye sielewi!ndo nimekuja humu nakuta mambo meusi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom