reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Mmhhh!???sielewi haki tena!Narudia tena endeleeni na ujinga wenu uko pm chart zenu nitaziweka hapa
Yaani siogopi yeyote shenzy nyie






Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mmhhh!???sielewi haki tena!Narudia tena endeleeni na ujinga wenu uko pm chart zenu nitaziweka hapa
Yaani siogopi yeyote shenzy nyie






Na hivi sijui lolote hapa jeifuniii!!!!Wanikome. Tabia za kishamba shamba toka lini? Kwanza naanzaje yani? Nasisitiza tena WANIKOME kama wamemaanisha na mie niko kwenye ujinga wao.
Mmhhh!!!kuna mbwa zinakera sana yaani wanakaaa tu uko pm kwao wanakutungia habari eti shunie anataka kumwandikia thread mtu ana ukimwi hivi hawa mbwa wananichukuliaje mimi lakini kunitungia story zao yaani unabaki unashangaa kusikia hizo habari maana ndio mara yako ya kwanza na evidence juu yaani huyu dada anikome jamani kunifatafata





kazi mnayo miye sielewi!ndo nimekuja humu nakuta mambo meusiAtapita atasoma, kama ni muelewa atajirekebisha. 😁D huyu dada kazidi ujue sio mara moja kila siku shunie yaani anikome anikome mbwa huyuuuu





afu unauliza baada ya hapo nikafanyaje?!!


Penye wengi kuna mengi..
Humu unaweza sikia kitu cha kuhusishwa nacho mpaka we mwenyewe ukashtuka hiki ni changu kweli au wamekosea jina!!
Muhimu ni kupotezea, ukiona ni too much unalala nae mbele tu![]()
Kunywa maji ulale 😃Mmhhh!!!kazi mnayo miye sielewi!ndo nimekuja humu nakuta mambo meusi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hakunifai kwaherini!!!shunie na mashosti zakeKazidi huyu mbwa kila siku kaniweka moyoni
Upo jamani?
Nipe pole kwanza Rafiki...Nililetewa kitukoulishawahi kuagiza gauni rafiki ?

Hahahah!!dunia hii!mkishindwa nikodisheni nimletee uswahili wa mbagala!Ujinga tu mkwe
Siwezi kukunyima mkwe wangu



hapo ndo nakupendaga miyee!!mweehh!dunia hiiHumu ndani kuna unyoko mwingi 🤓 kama una roho nyepesi utaishia kuumia sana
Naend kutuma picha kule kwetu mwenzio!Kunywa maji ulale![]()





;;!;ya huku siyawezi shoooNiko mrembo huku sio kwangu napitaga Mara 1 kwa mwaka nashangaa nakuta habari nzito ndo nimetulia hapaaUpo jamani?
You're missed...
Usisahau tag mrembo 😎Naend kutuma picha kule kwetu mwenzio!;;!;ya huku siyawezi shooo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Humu ndani kuna unyoko mwingikama una roho nyepesi utaishia kuumia sana







kabisa yaani Mimi kuna mtu nimemlima life block staki kabisa story nae ana mambo ya ajabu mnooNdo kilichobaki hikii!huku sipawezi na hivi sinaga shostiUsisahau tag mrembo![]()
Download play storeTapatalk inapatikana wapi hii?