Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
MABOSI wa Newcastle United wameamua kuonyesha jeuri ya pesa kwa kuamua kujitosa kwenye dili la kuiwania saini ya staa wa PSG na Brazil, Neymar ambaye amekuwa akiwindwa na Manchester City na Barcelona.
Neymar anaonekana kuwa na wakati mgumu kwenye viunga vya PSG na taarifa zinadai ameomba kuondoka mwisho wa msimu huu. Mkataba wake unatakiwa kumalizika 2025.
Neymar anaonekana kuwa na wakati mgumu kwenye viunga vya PSG na taarifa zinadai ameomba kuondoka mwisho wa msimu huu. Mkataba wake unatakiwa kumalizika 2025.
AIR MANULA NDANI KIKOSI BORA CHA WIKI CAF CC
“Gendermarie wanaonekana kuwa bora katika ufungaji hasa kwa kupitia kwa mshambuliaji wao anayeitwa ADEBAYOR. Inawezekana yeye ndiye ambaye anaweza kuamua mechi Uwanja wa Mkapa. Akibanwa vyema basi Simba itapita. Asipobanwa vyema tunaweza kuwa na MSIBA mwingine kama ilivyotokea katika mechi dhidi ya UD Songo au Jwaneng Galaxy ya Botswana.
