Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Unafahamu nini kuhusu tiba ya upandikizaji wa uboho? wamesema ni mpya sana kwenye Taifa la Tanzania ambapo sasa imeanza kutolewa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili ambayo sasa inaingia kwenye orodha ya Hospitali chache za Afrika zenye uwezo wa kutoa matibabu haya.


