Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mapenzi ya kweli na Wivu havitengamani Auntie...
Binafsi namuelewa sana Shem wangu..Msamehe tu Aunty akeee..

Sent using Jamii Forums mobile app
Auntie me ni wa kwake tu hakuna mwingine atanichukua jamani naanzaje lakini ujue haniamini ndio maana anasema awe karibu na wewe yaani kama vile auntie unajua mambo yangu hahhahah ila Lee
 
Auntie me ni wa kwake tu hakuna mwingine atanichukua jamani naanzaje lakini ujue haniamini ndio maana anasema awe karibu na wewe yaani kama vile auntie unajua mambo yangu hahhahah ila Lee
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ha ha ha....Si alishapigwa na kitu kizito..Hofu Imetanda...

Kwamba awe karibu na mimi[emoji2]angejua Shem wake hapa Alivyo Msiri atanisamehe tu jamani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ha ha ha....Si alishapigwa na kitu kizito..Hofu Imetanda...

Kwamba awe karibu na mimi[emoji2]angejua Shem wake hapa Alivyo Msiri atanisamehe tu jamani...

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitoki tena kwake nabaki kwenye chaka langu naomba tu tusipeane tena break jamani
 
Auntie nasikia huyu ndio mkewe mtarajiwa sijui kweli au watu wameamua tu kuweka picha baada ya kusikia dogodogo mweupe
Screenshot_20220322-201532_Instagram.jpg
 
Auntie nasikia huyu ndio mkewe mtarajiwa sijui kweli au watu wameamua tu kuweka picha baada ya kusikia dogodogo mweupeView attachment 2160770
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ila Watanzania tuko na mambo yetu personal..hapo inawezekana wameunganisha tu.. hawashindwi[emoji2]

Tusubiri Auntue tutamuona tu... Tujue huyo cheupe kampa nini Mzee[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Auntie Makiwendo ana wasiwasi nilimuita cocastics babe yule ni mwenzetu sio mwanaume yule we kama hauniamini sawa tu me mambo za stress za mapenzi hapana jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ana wasiwasi na yule kiumbe?
Lee yule hana madhara Shem..

Sent using Jamii Forums mobile app
...dunia ya sasa hivi imevaa bukta, pronouns lazima uwe nazo makini.
Anko wangu lazima awe na wasiwasi, siku hizi hadi mbwa anabebishwa na kuduishwa.
Ngoja niendelee na lindo hapa niko na mama yenu mkubwa nampigisha maombi ya mnyororo, style za Makerubi tu
 
Back
Top Bottom