Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Kamiss kupendwa Auntie...Hahaah nimetoka kuangalia clip yake jamani nimechoka yule mzee kweli wa kutaka kuoa angetulia tu amalizie uzee wake vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Kamiss kupendwa Auntie...Hahaah nimetoka kuangalia clip yake jamani nimechoka yule mzee kweli wa kutaka kuoa angetulia tu amalizie uzee wake vizuri

Auntie me ni wa kwake tu hakuna mwingine atanichukua jamani naanzaje lakini ujue haniamini ndio maana anasema awe karibu na wewe yaani kama vile auntie unajua mambo yangu hahhahah ila LeeMapenzi ya kweli na Wivu havitengamani Auntie...
Binafsi namuelewa sana Shem wangu..Msamehe tu Aunty akeee..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mapenzi yana run dunia



Auntie me ni wa kwake tu hakuna mwingine atanichukua jamani naanzaje lakini ujue haniamini ndio maana anasema awe karibu na wewe yaani kama vile auntie unajua mambo yangu hahhahah ila Lee




angejua Shem wake hapa Alivyo Msiri atanisamehe tu jamani...
Ha ha ha....Si alishapigwa na kitu kizito..Hofu Imetanda...
Kwamba awe karibu na mimiangejua Shem wake hapa Alivyo Msiri atanisamehe tu jamani...
Sent using Jamii Forums mobile app





sitoki tena kwake nabaki kwenye chaka langu naomba tu tusipeane tena break jamani
Yule mzee kweli jamani yani nabaki nashangaa tu
Ishi humo humo Auntie...sitoki tena kwake nabaki kwenye chaka langu naomba tu tusipeane tena break jamani






ila Lee ameshaanza na mawivu yake auntieila Lee ameshaanza na mawivu yake auntie

Msamehe bure Auntie..
Msamehe bure Auntie..
Mapenzi ni kuvumilia na kuvumiliana Auntie..
Sent using Jamii Forums mobile app






yaani haniamini kabisaAuntie nasikia huyu ndio mkewe mtarajiwa sijui kweli au watu wameamua tu kuweka picha baada ya kusikia dogodogo mweupeView attachment 2160770






Ngoja nikuamini
Ila wanawake tuna huruma sana yaani nasubiri tu nimuone mke wa mtarajiwa wa mrema





....hata sasa hivi full kunoga, full madikodiko Makapuku haijawahi kuwa kiporoHuu uzi huu miaka ile ulinoga sana
...dunia ya sasa hivi imevaa bukta, pronouns lazima uwe nazo makini.