Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sasa auntie yangu toka jana unagawa likes tu nikaona unaiga nyayo za mkwepu jr

Yaani auntie penzi lipo site si umeambiwa ushone share lakini na shemeji yako harusi tunayooooo
Naaaaam!!!
Penzo lipo site Auntie....

Ndiyo ndiyo..Harusi mwaka huu tunayo..Hata kwa kubet...Woiiiii

Jana mbona nilikuwa hapa Aunty akee...Wewe hukuonekana..sijui mzee Baba jana aliamua kukaba kisawa sawa..na Ile hali ya hewa sasa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naaaaam!!!
Penzo lipo site Auntie....

Ndiyo ndiyo..Harusi mwaka huu tunayo..Hata kwa kubet...Woiiiii

Jana mbona nilikuwa hapa Aunty akee...Wewe hukuonekana..sijui mzee Baba jana aliamua kukaba kisawa sawa..na Ile hali ya hewa sasa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahha mzee baba alikuwa busy na me nilikuwa busy sana auntie yaani nilikuwa naingia makapuku kwa kubeep
 
Urusi imetangaza adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela kwa Mtu wa Urusi atakayebainika kuisaidia Serikali ya Ukraine kifedha, vifaa mbalimbali, mbinu za kivita na misaada mingine ikiwemo ya Kijeshi.

Katika hatua nyingine Urusi imesema atakayebainika kuwasaidia kifedha Raia wa Ukraine atapewa adhabu ya hadi kifungo cha miaka 10.
Screenshot_20220322-143950_Instagram.jpg
 
• "Nitaushangaa Uongozi wa Shirikisho la Muziki kama utawakalia kimya wale ambao hawana nidhamu na Shirikisho, hatuwezi kwenda na Watu ambao wanalikebehi Shirikisho wakati hata tukiwaita kwenye vikao hawaji, leo wangekua watokaji wazuri kwenye vikao, wangekua washiriki wazuri wa Shirikisho Msemaji nisingekuwa mimi wangekua wao wenyewe" ——— Steve Mengele, Msemaji wa Shirikisho la Wasanii.
Screenshot_20220322-144311_Instagram.jpg
 
Auntie!!!
Nitashona kitu kimoja hicho..Matatraaaa balaa....
Hadi ukiniona utaniambia Auntie hapana...hebu kapunguze kidogo bhana...

Bwana harusi asije akabadili Uelekeo Madhabauni...Then tutaambia nini watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiona bwana harusi anakuangalia sana auntie namziba na mikono kwanza ataanzaje
 
• "Wale wooote yale maoni yao Shirikisho limeyachukua, mimi siwezi kung'oka kihunihuni eti kwa sababu Watu eti masaa 48, kamfanyie Bibi yako masaa 48 huko, eti uning'oe kihuni tu" ——— asema Msemaji wa Shirikisho la Wasanii Steve Mengele
Screenshot_20220322-144617_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom