safi sana shangaziSi ndio vizuri we mzee kujificha sio kuwapa watu faida si unajua watu wazima tena
....haya hayaishi kiurahisi, yaani ni kama kisasi cha Wasomali, labda ukoo uishe anko 🙂Hahaha Ankoo kwani bado tuna tatzo, Mimi nilijua tulishayamaliza kumbe bado ankoo![]()
...acha unaa, alisikika kijana Augustino Lyatonga Mrema akisema wakati anatoka famasi kununua mkuyatiKuwa makini na ankoo, usije sema sikukuambia mapema rafiki
Umemkaje we mzee jamanisafi sana shangazi
...nilikuambia aunt, uvumilivu na kusamehe ndiyo kitu pekee wakati ukiwa na anko wangu.Ila auntie una kauchochezi jamani kama baba wawili
Ila leo nimemmiss mchumba angu sijui nani kanitekea na hii hali ya hewa jamani
hahahaha.nimeamka poa shangaziUmemkaje we mzee jamani
Nafurahi kusikia hivyo we mzeehahahaha.nimeamka poa shangazi
Arusha hapa Opp na DAR XPRESS StandNdio wapi huko
hahahaha.nikuache uendelee na ma anko.natumika kukazi kdgNafurahi kusikia hivyo we mzee
We mzee jamani ukimaliza kutumika ukuje hukuhahahaha.nikuache uendelee na ma anko.natumika kukazi kdg