Makapuku Forum

Makapuku Forum

...anko wangu ni master, yaani legendary king Kong konki konki, jiwe stone, mukulu bilanga, mopao suke chile mutu ya watu, alishaimbwa na band ya Akudo.

Siwezi kumuharibia hata kidogo huyu kaka wa mazaangu.
Sema akija hapa hachelewi kunibagaza.

Mapenzi yenu ni mfano kwa vijana ambao wanapenda kuhamisha magoli kama Nigendako
Anko unaweza kujitahidi kutokuwa na wivu kidogo ,najua huamini unachokiona ila mdo ukwelii napendwaaaa tenaaaa tena mahaba ndi ndi ndi

Mengine yote mimekuachia wewe na namba yangu mpya usigawe ...kwenye hili najua uko na mimi
 
Anko unaweza kujitahidi kutokuwa na wivu kidogo ,najua huamini unachokiona ila mdo ukwelii napendwaaaa tenaaaa tena mahaba ndi ndi ndi

Mengine yote mimekuachia wewe na namba yangu mpya usigawe ...kwenye hili najua uko na mimi
...kweli kabisa, namba mpya hiyo hata iweje siwezi kuigawa anko.

Ila kwa mwendo huu wa Simba nikiigawa itabidi tusameheane tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom