Makapuku Forum

Makapuku Forum

We muache amuharibie mjomba ake
...anko wangu ni master, yaani legendary king Kong konki konki, jiwe stone, mukulu bilanga, mopao suke chile mutu ya watu, alishaimbwa na band ya Akudo.

Siwezi kumuharibia hata kidogo huyu kaka wa mazaangu.
Sema akija hapa hachelewi kunibagaza.

Mapenzi yenu ni mfano kwa vijana ambao wanapenda kuhamisha magoli kama Nigendako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom