Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Baada ya Rais wa Shirikisho la soka nchini Morocco kutangaza kuwa Hakim Ziyech atajumuishwa kwenye kikosi cha awali cha timu ya taifa, winga huyo amechapisha ujumbe kwenye Instagram kukanusha
Ziyech anasema tayari alishastaafu timu ya taifa na anaendelea kukazia kuwa hatorejea tena kuvaa jezi ya timu kutokana na mambo mengi yanayoendelea ikiwemo ya uzushi juu yake
Ziyech anasema tayari alishastaafu timu ya taifa na anaendelea kukazia kuwa hatorejea tena kuvaa jezi ya timu kutokana na mambo mengi yanayoendelea ikiwemo ya uzushi juu yake
️' 32 mabao
' 13 assisti



hayo mambo nilikuwa siyawezi

