

Farhan Jr
THREATS TO WORLD PEACE AFTER THE SECOND WORLD WAR
Kwenye hii dunia kulikuwa na vita baridi yani Cold war, kulikuwa na utofauti mkubwa wa kimtazamo kati ya pande mbili, upande wa Mashariki na upande wa Magharibi
Nini kimesababisha VITA HIVI BARIDI?
- Mosi, utofauti wa kimtazamo kati ya pande mbili, lakini upande wa Magharibi kumradhi mnamshindanisha na Kapombe yupi? Huyu aliefunga bao la kwanza miaka 11 nyuma ndani ya Ligi na alietoa Assist mechi iliyopita?
Mfano tu, Kapombe yupi ambaye aliumia pale Azam akiwa anaongoza kwa mabao ndani ya ule msimu akiwa na mabao nane? Au Kapombe huyu wa Shirikisho na Klabu bingwa Afrika?
Pili, The Ngaya Expansionism policy, ndio kweli wanataka ukubwa lakini huwezi kukuwa na kutanuka bila kufanya kazi, Wachezaji wa Simba wamefika walipo kwa kufanya kazi, ukubwa unahitaji consistency
Kapombe hajajiweka hapo alipo bali day in and day out, akiwa fit basi hakuna shaka hakuna wa kumuweka nje, akiwa fit kiwango chake tu kinampa nafasi ya kuwa beki bora zaidi wa kulia nchini
Mwisho, the so called KUKINAI POLICY, ndio watu hukinai, ukiwa kwenye ubora kwa muda mrefu sana basi watu hukinai, ukiwa bora kwa muda mrefu kama watashindwa kukushusha basi atasetiwa Mtu wa kukushindanisha nae
Sio kwamba Shomari hajulikani ubora wake bali, watu tu wamekinai