Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220213-043447_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20220213-043519_Opera%20Mini.jpg
 
Wachezaji ASEC wapita wote vipimo vya covid 19
.
Kwa nyakati tofauti katika mashindano ya Kimataifa kama Ligi ya mabingwa Afrika na mengineyo kunakuwa na madai ya figisu inapofika kwenye vipimo vya covid 19.
.
Kikosi cha Asec Mimosas kilifanya vipimo hivyo juzi Februari 11 asubuhi katika kambi yao.
.
Majibu ya vipimo hayo yametoka na wachezaji, benchi la ufundi, viongozi na wote waliokuwa katika msafara majibu yao yametoka safi na hakuna mwenye maambukizi.
Screenshot_20220213-135029_Instagram.jpg
 
MOALLIN: SAKHO HATARI
.
Kocha mkuu wa Azam FC, Abdihamid Moallin ‘Master Lecturer’ amesema Mchezaji hatari ambaye amemstua kwenye Ligi ni Pape Sakho wa Simba na anasema dawa yake inachemka maana alimsumbua kwenye michezo yote miwili ambayo amekutana na Simba ukiwemo wa fainali ya Mapinduzi.
.
“Sakho ni mchezaji hatari sana yule. Kasi yake ilitupa wakati mgumu jinsi ya kukabiliana naye. Alitulazimisha kufanya makosa,” amesema Moallin.
Screenshot_20220213-135145_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom