Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani zaidi ya utoto nilibebwa jana nilikuwa sina jinsi tu
Yaan palinishinda pale, Kuna vijana wa vyuoni hovyo hovyo mikele MDA wote, afu wanamwagiana mipombe bila ustaarabu.

Lugha za ajabu ajabu, yaan full tafrani pale.

Sasa nikitoka zangu mizungukkni, huwa nahitaj sehem tulivu kama GP kutuliza nafsi Kwanza na mziki was kiutu uzima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom