Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
"Katika mazungumzo yetu niliwataka wenzangu pamoja na mambo mengine kujiimarisha kiuchumi, tulipe kodi na tulipe tozo ili tuisaidie Serikali yetu katika kujitegemea zaidi na sisi kama Nchi kujitegemea zaidi na nikaeleza kwanini sisi Wabunge tulipitisha jambo hili la tozo na nikasema endapo wenzetu mnatuona Wabunge tulifanya jambo baya kupitisha jambo hili basi mtatuhukumu huko mbele, Wabunge sikumaanisha Taasisi nyingine yoyote"
Juzi tarehe 26 nilikuwa kwenye shughuli nikazungumza baadhi ya mambo baadaye ikatengenezwa clip na baadhi ya Watu wakakata baadhi ya mambo wakawasilisha ujumbe nusu ambao umesababisha mjadala mkubwa katika Nchi yetu mjadala ule umesababisha usumbufu wa hapa na pale nimeona tukutane pamoja na mambo mengine niweke sawa jambo hilo lilivyokuwa" ——— asema Spika Job Ndugai
Juzi tarehe 26 nilikuwa kwenye shughuli nikazungumza baadhi ya mambo baadaye ikatengenezwa clip na baadhi ya Watu wakakata baadhi ya mambo wakawasilisha ujumbe nusu ambao umesababisha mjadala mkubwa katika Nchi yetu mjadala ule umesababisha usumbufu wa hapa na pale nimeona tukutane pamoja na mambo mengine niweke sawa jambo hilo lilivyokuwa" ——— asema Spika Job Ndugai

Sura ya nje ya Taasisi ni ishara ya namna Taasisi zinafanya kazi kutoka ndani. Namna Taasisi inavyozungumzwa ndivyo kwa asilimia kubwa inaathiri namna yake ya utendaji. Hivyo katika moja idara muhimu ni idara ya Mahusiano na Mawasiliano, mtu anayeteuliwa kuisemea Taasisi ni lazima awe mtu anayeenda mbele kuiheshimisha Taasisi.