Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220105-084855_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20220105-084912_Opera%20Mini.jpg
 
Anaitwa Cheikh Ahmed Tenena Moukoro, akifahamika zaidi kama Cheikh Moukoro, raia wa Ivory Coast

Yupo kwenye majaribio ndani ya Klabu ya Simba, ikitokea amecheza vyema basi atapewa kandarasi ndani ya Msimbazi

Amewahi kupita kwenye klabu kubwa kama Asec Mimosa ya Ivory Coast, Al Hilal Obeid, Al Hilal ya Sudan na Al Masry ya Misri, amewahi pia kucheza soka nchini Iraq

Ni winga ya Kushoto hii, ngoja tuione leo kwenye Michuano ya Mapinduzi Cup

Screenshot_20220105-154127_Instagram.jpg
Screenshot_20220105-154150_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom