Hawa yanga kama wamemsajili moses phiri kweli msimu huu kazi ipo.
Anaitwa Cheikh Ahmed Tenena Moukoro, akifahamika zaidi kama Cheikh Moukoro, raia wa Ivory Coast
Yupo kwenye majaribio ndani ya Klabu ya Simba, ikitokea amecheza vyema basi atapewa kandarasi ndani ya Msimbazi
Amewahi kupita kwenye klabu kubwa kama Asec Mimosa ya Ivory Coast, Al Hilal Obeid, Al Hilal ya Sudan na Al Masry ya Misri, amewahi pia kucheza soka nchini Iraq
Ni winga ya Kushoto hii, ngoja tuione leo kwenye Michuano ya Mapinduzi Cup
Nani huyo tena Manga au unaongea na simu jamaniSasa ivi wewe ni dada yangu
...kuna jipya?! Au umetuita kusalimia au kiulizo?Makapuku
Kiwasalimu tu nakuwapa heri yenu ya mwaka mpya...kuna jipya?! Au umetuita kusalimia au kiulizo?
Shukrani mkuu na kwako piaKiwasalimu tu nakuwapa heri yenu ya mwaka mpya
Asante sanaShukrani mkuu na kwako pia
Karibu sana makapuku