Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220105-084855_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20220105-084912_Opera%20Mini.jpg
 
[emoji837] Anaitwa Cheikh Ahmed Tenena Moukoro, akifahamika zaidi kama Cheikh Moukoro, raia wa Ivory Coast

[emoji837]Yupo kwenye majaribio ndani ya Klabu ya Simba, ikitokea amecheza vyema basi atapewa kandarasi ndani ya Msimbazi

[emoji837]Amewahi kupita kwenye klabu kubwa kama Asec Mimosa ya Ivory Coast, Al Hilal Obeid, Al Hilal ya Sudan na Al Masry ya Misri, amewahi pia kucheza soka nchini Iraq

[emoji837]Ni winga ya Kushoto hii, ngoja tuione leo kwenye Michuano ya Mapinduzi Cup

Screenshot_20220105-154127_Instagram.jpg
Screenshot_20220105-154150_Instagram.jpg
 
[emoji3578][emoji3578] Shaffih Dauda

Kutoka kwenye vyanzo vyangu vya uhakika kabisa ni kuwa 99.9% Clatous Chama ni Mchezaji wa Simba

Atatangazwa muda wowote kuanzia Januari 14

The Last dance is complete

DIGALA
Screenshot_20220105-155355_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom