Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yani mmechoka ndio kwanza mechi ya kwanza?

Bado hajapiga Hatrick
Bado hajapiga migoli ya comeback
Bado hajaja Anfield, Stamford Bridge wala Emirates?

Fungeni tu mikanda mna kasafari karefu chenye milima na mabonde
Screenshot_20210911-192549_Instagram.jpg
 
Farhan Jr

Wakati Rafa Benitez ni Kocha wa Real Madrid, aliwahi kumtuma Kocha wake Msaidizi ampelekee flash Cristiano Ronaldo atazame video za namna ya kuiba nafasi (Loose a maker)

Msaidizi wa Benitez baada ya kumkabidhi flash Ronaldo na kumpa hayo maelekezo, Ronaldo akamwambia subiri mara moja

Akaiweka flash kisha akarudi na kumwambia Msaidizi, "Nenda kamwambie Benitez kesho nitamletea flash ya magoli yangu kwa ajili ya yeye kujifunza namna ya kufundisha kuiba nafasi" akamaliza

Baadae Benitez alipokuja kutazama mabao ambayo Ronaldo anafunga, mengi yalikuwa ni kuiba nafasi na kuweka kambani (Loosing a Marker) ni akili kubwa mno

Leo tena bao lake la kwanza Old Trafford unaweza kuliona rahisi sana ila ni bao gumu sana kulifunga, akili kubwa sana! Ni muendelezo wa clip zake za LOOSING A MARKER, bila shaka Benitez anaendelea kujifunza

He is Cristiano Ronaldo The Animal.
Screenshot_20210911-193947_Instagram.jpg
 
Matajiri wawapa mzuka mastaa Yanga, kuvuna milioni 500
.
Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara, Yanga, kesho jioni wanashuka uwanjani ili kuwakabili Rivers United ya Nigeria, huku mastaa wa Jangwani wakiwa wamejazwa upepo baada ya bilionea wa klabu hiyo kuwawekea mzigo wa maana mezani ili kuhakikisha wanalikamilisha jambo lao la kufika hatua ya makundi.
.
Ipo hivi. Jana jioni mabosi wa Yanga walikutana na mastaa wa timu hiyo kwenye kambi yao ya Avic, Kigamboni jijini Dar es Salaam na matajiri hao wakatoa tamko zito la kufika makundi msimu huu, kwa kuwahakikishia kuwa kwamba wamedhamilia kufanya kweli, basi watachukua si chini ya Sh milioni 500 wakiwatoa Rivers United.
.
Fedha hizo ni kama bonasi tu ambapo Yanga wanataka kuhakikisha wachezaji wao wanahamasika na kushinda.View attachment 1933355
Hawa bila pesa hawawezi kufanya kazi iliyowaleta
 
Halafu kingine jamani mapenzi matamuuuu ukimpata anayekupenda jamani usimwachie mshikilie ukimwachia tu wenzio wanamdaka mwisho wa siku akidakwa unabaki muimba taarabu

Nyieee jamani mapenzi matamuuu naenjoy mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom