Halafu kingine jamani mapenzi matamuuuuukimpata anayekupenda jamani usimwachie mshikilie ukimwachia tu wenzio wanamdaka
mwisho wa siku akidakwa unabaki muimba taarabu
Nyieee jamani mapenzi matamuuu naenjoy mimi






Kweli ujue ukiwa na kitu unakiona hakina thamani unaachana nacho kumbe wenzio walikuwa wanasubiri tu umwachie wamdake wampendee wamdekezeee wamjali kwa kila kitu 
Thamani ya kitu huonekana kikishaondoka.Kweli ujue ukiwa na kitu unakiona hakina thamani unaachana nacho kumbe wenzio walikuwa wanasubiri tu umwachie wamdake wampendee wamdekezeee wamjali kwa kila kitu
![]()
Na ndio maana tunaambiwa ukiwa nacho kikumbatie na kukishikilia usikiachie kama hakina tatizoThamani ya kitu huonekana kikishaondoka.