😀😀😀😀😀RIVERS UNITED WAGOMA KUINGIA VYUMBANI
Wachezaji na viongozi wa Rivers United wamegoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa na badala yake wakataka kubadilishia nguo kwenye eneo la MIX ZONE
Stewards wa uwanja wa Benjamin Mkapa wakawaelekeza wasibadilishie nguo eneo hilo, waingie vyumbani hapo ndipo mabishano yakaanza!View attachment 1934901
nicheke tuuRIVERS UNITED WAGOMA KUINGIA VYUMBANI
Wachezaji na viongozi wa Rivers United wamegoma kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa na badala yake wakataka kubadilishia nguo kwenye eneo la MIX ZONE
Stewards wa uwanja wa Benjamin Mkapa wakawaelekeza wasibadilishie nguo eneo hilo, waingie vyumbani hapo ndipo mabishano yakaanza!View attachment 1934901
😀😀😀😀 wewe na nanHahah dah mjomba bhana,, kuwa na aman siku hizi tunakuombea dua njema hatuna shida na wewe tena
😀😀😀😀 wewe na n
Na Binamu yetu,hapa kati umepitia kipindi kigumu sana,, wewe ni wa kutaka kujinyonga kweli ?😅😅😅😀😀😀😀 wewe na nan
Maishaa mjomba ...sema nishapata tulizoNa Binamu yetu,hapa kati umepitia kipindi kigumu sana,, wewe ni wa kutaka kujinyonga kweli ?😅😅😅