Uzee huo kwio?🏇🏇🏇Ahsante kunikumbuka ndugu yangu. Natumai nawe hujambo pia?
Uzee huu 😎 wafanya hatuonani eti.
Shaka ondoa Shunie, salaam kwa Shadeeya zimefika. Na hivyo walivyomsajili Manara ili awaletee ubingwa saa zote yuko anatabasamu tu😀😀😀
🤣🤣🤣
Ubingwa watausikia kwenye bomba na manara wao
Huku bwana jina linawaogopesha watu ujue ila makapuku ni jina tu jamani
Nakubali mna watu aisee. Haji si kawahakikishishia kubeba ndoo ya TPL?😀😀😀🤣🤣🤣
#Sisitunawatu.
Nduguyo Shunie yupo huku na ameshakua mwenyeji haswaa. Hapa tunasubiri muda si mrefu atuletee magazeti angalau tupitie vichwa vya habari😀 Ndipo tumezeeka eti. Lol 🙈
Yaani kuna kipindi alikuwa haipiti siku hatujakutana / kupishana kwenye ulimwengu wetu wa jf na ndugu yangu Shunie.
Manara yule ni mpiga mdomo tu kama wapiga mdomo wengine sema nini anajua kwenda na upepo.Nakubali mna watu aisee. Haji si kawahakikishishia kubeba ndoo ya TPL?😀😀😀
😀😀😀Ila hili chimbo la Makapuku nilikua naliona tu nalichukulia poa ila liko poa sana
Ewaaa!!! Wazee tunajuana etii. 😀😀😀Nduguyo Shunie yupo huku na ameshakua mwenyeji haswaa. Hapa tunasubiri muda si mrefu atuletee magazeti angalau tupitie vichwa vya habari
Manara yule ni mpiga mdomo tu kama wapiga mdomo wengine sema nini anajua kwenda na upepo.
Sisi tunakiaminia Kikosi chetu kwamba ni bora na pia ukizingatia tuna seasons zaidi ya 4 hatujachukua ubingwa hivyo this time mkubali mkatae ubingwa VPL ni kwa Timu ya Wananchi.
![]()
Kwa usajili upi kwa mfano?😀😀😀Manara yule ni mpiga mdomo tu kama wapiga mdomo wengine sema nini anajua kwenda na upepo.
Sisi tunakiaminia Kikosi chetu kwamba ni bora na pia ukizingatia tuna seasons zaidi ya 4 hatujachukua ubingwa hivyo this time mkubali mkatae ubingwa VPL ni kwa Timu ya Wananchi.
😀😀😀
Umeona eeh? Muhimu kujua kipi kimejiri kwenye duru za siasa, jamii na michezoEwaaa!!! Wazee tunajuana etii. 😀😀😀
Hatuanzi kazi bila kujua magazeti yanasema aje. 👏
Watamtimua tu muda si mrefuPolee sana