Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kipindi pekee ambacho mbutembute fc wanafurahia ni hiki cha usajili ..subiria jpili wapigwe za kutosha
Naona mechi zao za kujipima nguvu wanacheza na kina Friends Rangers na kina Pan Africa!!!! Hawataki kucheza na timu kubwa maana wanakua wana risk support ya mashabiki wao watakaonza kuona wameingizwa chaka kwenye usajili

Safari yao kwenye CCL ndio inaishia round hii
 
Halafu nasikia sehemu zote anazopita lazima tu awavuruge tu
Hata kwenye chama chake kuna kipindi miaka ya nyuma walimpa heshima na kumteuwa kua Mwenezi wa Mkoa

Kashfa aliyowaletea si ya kitoto. Yaani ilibidi aandike mwenyewe barua ya ku resign na Chama kwa kule kudhalilisgwa hakikuhangaika hata kumjibu!!! Walichagua tu mtu mwingne kuchukua nafasi yake

Kwahiyo upo sahihi kabisa kua kila apitapo lazima awavuruge
 
Screenshot_20210906-091356_Instagram%20Lite.jpg
 
Hata kwenye chama chake kuna kipindi miaka ya nyuma walimpa heshima na kumteuwa kua Mwenezi wa Mkoa

Kashfa aliyowaletea si ya kitoto. Yaani ilibidi aandike mwenyewe barua ya ku resign na Chama kwa kule kudhalilisgwa hakikuhangaika hata kumjibu!!! Walichagua tu mtu mwingne kuchukua nafasi yake

Kwahiyo upo sahihi kabisa kua kila apitapo lazima awavuruge
Kabla ya Ccm alianzia Cuf napo ni hivyohivyo tu kuna siku nilisoma mpenja sijui alimuongelea vizuri sana toka alivyokuwa naye radio uhuru ebu nitatafuta post yake nitaiweka hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom