Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20210906-081310_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20210906-081337_Opera%20Mini.jpg
 
Manara yule ni mpiga mdomo tu kama wapiga mdomo wengine sema nini anajua kwenda na upepo.

Sisi tunakiaminia Kikosi chetu kwamba ni bora na pia ukizingatia tuna seasons zaidi ya 4 hatujachukua ubingwa hivyo this time mkubali mkatae ubingwa VPL ni kwa Timu ya Wananchi.

Hahhaha kwa kujipa moyo tu yetu sisi macho
 
Hamna kitu pale. Huko alipokua alikua anasugua bench tu. Na Chura FC kwani wanakawia? Wataanza kumshambulia kwa lawama na matusi watapoona huyu sio Makambo wa mwanzo. Wamenunua mbuzi kwenye gunia

Kipindi pekee ambacho mbutembute fc wanafurahia ni hiki cha usajili ..subiria jpili wapigwe za kutosha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom